Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jeshi la Polisi Zanzibar kuimarisha Ulinzi mkali

Jumatano , 16th Mar , 2016

Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa litaendelea kuimarisha ulinzi na usalama hususani kuelekea siku ya uchaguzi jumapili ambapo matukio kadhaa ya kihalifu yameanza kujitokeza ikiwemo kutokea mlipuko nyumbani kwa Kamishna Mkuu wa Polisi Zanzibar.

Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omary Makame

Akiongea na Waandishi wa Habari jana visiwani humo Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omary Makame amesema mpaka sasa watu 31 wanashikiliwa na jeshi hilo kuhusiana na ulipuaji wa ofisi za CCM, Mwembekisonge, na matukio wa ulipuaji wa kitu cha afya huku akisema tukio linalomhusu yeye bado wanaendelea kulifanyia uchunguzi.

Aidha Kamishna huyo wa Polisi ametolea ufafanuzi suala la maeneo muhimu ikiweo bandari kulindwa na Wanajeshi hali ambayo inaonyesha kuwatishia baadhi ya wananchi visiwani humo ambapo wengine wameanza kuyakimbia makazi yao.

Kamishna Hamdani ameongeza kuwa jeshi hilo limeongeza ulinzi kwa ushirikiano na jeshi hilo katika kuwasaka wahalifu husussani visiwani pemba ambapo kuna habari za kihalifu zimeripitiwa na kusema kuwa opresheni inayoendelea visiwani pemba ni zoezi la kuwatafuta wahalifu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine