Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Jeshi lijiandae'' - Samia Suluhu

Jumamosi , 17th Nov , 2018

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu ameagiza kulindwa kwa mipaka ya nchi, ili kuhakikisha nchi inaepukana na matukio ya kiujangili na kiugaidi ambayo yamekuwa yakizikumba baadhi ya nchi jirani.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu.

Makamu wa Rais ametoa kauli hiyo wakati akizindua jeshi maalum la maeneo ya uhifadhi (USU) ambalo litakuwa likilinda maeneo mbalimbali ya hifadhi ya utalii.

Ugaidi ni changamoto nyingine kama taifa liliwahi kupata changamoto hii japo sio moja kwa moja na haikuathiri sekta ya utalii lakini taswira yetu ilitiwa doa, ni vyema kujiweka tayari kuhakikisha maeneo yetu ya uhifadhi hayatumiki kama maficho ya waovu wa ugaidi.” alisema.

Aidha Mama Samia amesema mbali na suala hilo Tanzania imekuwa ikikumbwa na matatizo mbalimbali ya Ujangili na kupelekea kuanzishwa kwa kampeni mbalimbali za kutokomeza kwa zoezi hilo.

Kulikuwa na ukubwa wa changamoto ya ujangili, na wanyama aina ya Tembo na Faru waliathirika sana kwa kuwa  wahusika walikuwa wanatumia silaha za kivita, na tumegundua silaha nyingi zinatoka nje.” aliongeza.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali