Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jina la mtoto lawafikisha wazazi mahakamani

Jumanne , 17th Apr , 2018

Wazazi wawili wenye dini ya Kiislam nchini Ufaransa wamepelekwa mahakamani baada ya kumpa mtoto wao jina la 'Jihad' na kujaribu kulisajili rasmi serikalini.

Picha sio ya watu husika (kwa hisani ya mtandao)

Maafisa wa serikali wa Ufaransa baada ya taarifa hiyo waliamua kuwafikisha kwa waendesha mashtaka, ambao sasa hivi wanaendesha kesi hiyo kupingana nalo wakiamini kuwa jina hilo lina muunganiko na ugaidi.

Wazazi hao walijaribu kujitetea kwa kuwaeleza waendesha mashtaka kwamba jina hilo halina maana ya vita vitakatifu kama ambavyo wengi wanafahamu, bali ni nguvu na kuweza kujipigania.

Hata hivyo maafisa wa serikali wa Ufaransa wamesema wamewataka wazazi hao kubadili jina la mtoto huyo ili kumlinda na madhara yake baadaye, na wazazi hao kufikia muafaka hapo jana April 16, 2018, na kumuita Jahid.

Nchini Ufaransa mzazi ana uhuru wa kumpa mtoto jina lolote analopenda, lakini lisiwe na madhara kwenye maisha ya mtoto huyo kwa namna yoyote ile.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava