Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM abariki taasisi kukatiwa maji

Jumatano , 21st Jun , 2017

Rais John Magufuli amesema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa Kiwango cha mita za ujazo za maji kwa matumizi ya mtu mmoja kitapungua hadi kufikia mita za ujazo 883 ifikapo mwaka 2035 kutokana na uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji.

Rais Magufuli amefunguka hayo leo katika siku ya pili ya ziara yake Mkoani Pwani ambapo akiwa katika eneo la Mlandizi wakati wa uzinduzi wa mtambo wa maji wa Ruvu Juu, amezitaka mamlaka na wananchi kuchukua hatua stahiki katika kuendelea kulinda vyanzo vya maji.

Akizungumzia kuhusu deni la shilingi bil 40 ambazo taasisi mbalimbali za serikali zinadaiwa na idara ya maji  Rais Magufuli ametaka taasisi hizo zikatiwe maji mpaka pale zitakapolipa madeni yake.

“Mtu asipolipa bili ya maji iwe taasisi yoyote hata kama ni Ikulu narudia kusema KATA, kwa sababu tumezoea kudekezana” alisema Magufuli

Pamoja na hayo Rais amemshukuru Waziri Mkuu wa India kwa kutoa kiasi cha shilingi tril 1.3 kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maji katika mikoa 16 nchini pamoja na kumhakikishia Balozi wa India kuwa mahusiano kati ya nchi hizo yataendelea kuimarika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava