Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aeleza kilichowakuta Mainjinia Sumbawanga

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, amesema moja ya changamoto alizokumbana nazo wakati wa Ujenzi wa barabara, mkoani Rukwa ni kwa Mainjinia wake kujikuta wamelala nje ya maeneo ambayo walikuwa wamelala usiku, na kueleza hali hiyo ilipelekea kuwakatisha

ujenzi wa barabara.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyoakia mkoani Rukwa alipokuwa akihutubia wananchi wa Sumbawanga kwenye Uwanja wa Nelson Mandela na kusema mkoa huo zamani walikuwa wakilalamika kutengwa.

Rais Magufuli amesema kuwa "kuna wakati fulani Mainjinia wangu niliwatuma wakalala kwenye Makalavati na walipoamka saa 4 asubuhi wakajikuta wako nje, hii ndiyo Rukwa."

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa "wananchi wa Sumbawanga walikuwa wakilalamika wametengwa aisee ni kweli, nilikuja Sumbawanga miaka hiyo barabara nyingi sana zilikuwa ni changarawe, naomba tuwapongeze Mzee Mkapa na Mzee Kikwete."

Kwa sasa Rais Magufuli, yupo ziarani mkoani Rukwa ambapo ameanzia mkoani Songwe.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa