Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aeleza ndoa ya mteule wake ilivyotaka kuvunjwa

Jumatatu , 3rd Feb , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameeleza ni kwa namna gani ndoa ya aliyekuwa Kamishna wa Ardhi Mary Makondo, ilivyotaka kuingia mashakani kutokana na watu wengi kumchukia, sababu ya misimamo yake aliyokuwa nayo.

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kulia ni Mary Makondo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi.

Rais Magufuli ameyabinisha hayo leo Februari 3, 2020, wakati akieleza ni kwa namna gani anawafahamu viongozi walioapishwa leo Ikulu ya Jijini Dar Es Salaam, ambapo Mary Makondo, yeye ameapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na kusema kuwa ataenda kuinyosha vizuri wizara hiyo kwa kuwa ina madudu mengi.

"Hawakumpenda sana kwa sababu ya misimamo yake na kwasababu hiyo nikasema huyu ambaye hawampendi ndiye atabaki palepale ili wale ambao hawampendi waumie vizuri sana, wamejitahidi pia kumuandikia vimeseji vya kumchafua na walitaka kumchonganisha na mume wake, nampongeza mume wake aliendelea kusimama imara" amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amewapongeza wale wote walioapishwa na kuwataka wakafanye kazi kwa weledi huku wakisimamia maslahi ya nchi na Taifa kwa ujumla.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto