Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aelezea mashaka yake kwa mwaka 2020/2021

Jumamosi , 30th Mei , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli , amewataka wakulima kuacha mara moja kuuza mazao yao kwa bei nafuu kwa kuwa huenda mwaka huu au ujao, hali inaweza isiwe nzuri kwani nchi nyingi za Afrika zitakumbwa na shida ya chakula kwa sababu walijifungia ndani kuogopa Corona.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 30, 2020, jijini Dodoma, wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ikulu ya Chamwino yenye ukubwa wa Hekari 8,473, na kusisitiza kuwa endapo wataamua kuuza, basi wauze kwa bei ya juu zaidi ili waweze kuiona faida ya nguvu zao.

"Niwaombe ndugu zangu wakulima tujihadhari kuuza mazao yetu kwa bei ya chini, inawezekana mwaka huu au unaokuja usiwe mzuri sana, msiuze vyakula kwa bei ya kutupa mtanunua chakula hicho kwa bei ya juu, na maeneo mengi ya Afrika na katika Dunia yatapata shida ya chakula kwa sababu waliji-lockdown wakati sisi tunalima na kama mtauza uzeni kwa bei ya juu sana, watwangeni sana" amesema Rais Magufuli. 

Aidha Rais Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa, kwa sasa Tanzania ni mahali salama baada ya Mwenyezi Mungu kuikoa na janga la Corona.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava