Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM asimulia Maalim Seif alivyookoa ndoa Zanzibar

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Rais wa amhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempongeza Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kukubali kuwa miongoni mwa viongozi wa serikali inayoongozwa na Dkt Mwinyi na kwamba maamuzi yake yaliokoa ndoa  ya watu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.

Kauli hiyo amneitoa hii leo Januari 14, 2020, mkoani Geita, mara baada ya kumaliza kufanya mazungumzo na viongozi hao wawili waliomtembelea nyumbani kwake Chato, na kuongeza kuwa maamuzi ya Maalim Seif yalikuwa ya kishujaa na yenye mwongozo waMungu na kwamaba mwanga wa maendeleo ya Zanzibar umeanza kuonekana.

"Zipo ndoa ambazo zilivunjika hasa kule Pemba, labda mwanamke aliipigia kura CCM na mwanaume akapigia ACT, na siku Maalim Seif ameingia kwenye serikali ndoa zile zikaungana, hii maana yake maamuzi yake yameunganisha wana ndoa na yana baraka kwa Mungu", amesema Rais Dkt. Magufuli.

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa, "Haya mambo ya vyama yasitusumbue hata wewe Maalim Seif, ukitaka kuja kuoa CCM hapa Chato ruksa nitakutafutia, tunatakiwa sisi Watanzania tutangulize maslahi ya Taifa letu na mara nyingi maadui zetu wangefurahi kutuona tunagombana"

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava