Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM kuwasha moto kwa waliotibiwa Mafua India

Jumatatu , 15th Jul , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, kuhakikisha anafuatilia malipo yote ambayo Serikali inatakiwa kulipa Nchini India.

Rais Magufuli

Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Julai 15, wakati wa shughuli ya uzinduzi wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, ambapo amesema lengo la kufanya hivyo, ni kudhibiti  vizuri matumizi ya watu wanaotibiwa India ilihali hawana magonjwa ya kuwapeleka huko.

''Wapo watu hapa waliokuwa wanapewa vibali kwenda kutibiwa India kumbe wanaumwa mafua, Mh Waziri  wa Afya akafuatilie malipo tunayotakiwa kulipa India, ukikuta kuna mtu alitibiwa wakati hakuwa mgonjwa akazilipe mwenyewe, lazima tujenge nidhamu ya nchi yetu'' amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa, Serikali haikatai watu kwenda kutibiwa nje, lakini iwe ni kwa magonjwa, ambayo yameshindikana kutibika hapa nchini.

Rais Magufuli pia imeitaka Wizara ya Afya, kuhakikisha lazima inapata ufumbuzi wa kweli, ili kubaini nini chanzo na sababu inayopelekea, wananchi na wakazi wa kanda ya Ziwa kuongoza  kwa kuumwa ugonjwa wa Saratani.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava