Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KAGERA: Adaiwa kumchinja mwanaye wa kambo

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Ayoub John mwenye umri wa miaka 38, Mvuvi katika Kisiwa cha Chakazimbwe wilayani Muleba, kwa tuhuma za kumuua kwa kumchinja mtoto wake wa kambo mwenye umri wa miaka mitatu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi, amesema kuwa mtoto huyo wa kiume Aidan Greyson alichinjwa na Baba yake wa kambo usiku baada ya kutokea ugomvi baina ya wanandoa hao, uliosababisha mama wa mtoto huyo Mektirida Nestory mwenye umri wa miaka 27 kukimbia kwa kuhofia maisha yake na kuacha mtoto ndani.

Aidha kamanda huyo amesema kuwa Jeshi hilo linawasaka watu watatu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Rwegoshora Leonce mwenye umri wa miaka 55 kwa kumpiga na silaha za jadi, ikiwamo fimbo baada ya kumtuhumu kuiba mkungu mmoja wa ndizi wenye thamani ya shilingi 5,000 kutoka katika shamba la Nassib Abdalah, mkazi wa kitongoji cha Kakiri, Kijiji cha Kijongo, Bukoba vijijini.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava