Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampuni ya Icea Lion yaboresha huduma ya bima

Jumamosi , 5th Dec , 2020

Katika kuendelea kuifanya nchi kuwa  ya uchumi wa kati, makundi mbalimbali yakiwemo ya wafanyabiashara, wafanyakazi na wakulima wametakiwa kukata bima ikiwemo bima ya makazi, afya, mazao pamoja na vyombo vya moto ili kujihakikishia usalama wa mali zao.

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana,Dkt Phillis Nyimbi

Hayo yamebainishwa jijini Mwanza na Meneja wa bima kanda ya Ziwa Sharif Hamad, kwenye hafla iliyofanywa na kampuni ya bima ya Icea Lion, ambapo makundi hayo yametakiwa kjiunga na bima ili  kuepukana na kununua ama kufanya marekebisho ya mara kwa mara.

Awali akifungua hafla hiyo kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, mkuu wa wilaya ya Nyamagana Dkt Phillis Nyimbi, amesema makundi  mbalimbali yakiwemo ya wafanyabiashara na wakulima yanatakiwa kupewa elimu ya namna ya kukata bima.

Kampuni ya bima ya Icea Lion, imekuwa ikitoa huduma ya bima kama bima ya ujenzi, magari, biashara, safari, usafirishaji, viwanda, vituo vya mafuta bima ya moto kwa nyumba binafsi na viwandani, bima za meli, ndege, wizi na bima nyingine.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava