Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watuhumiwa wampaisha Kangi Lugola

Jumanne , 22nd Jan , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amepongezwa kwa hatua yake ya kuwatetea baadhi ya watuhumiwa ambao wamekuwa hawatendewi haki pindi wanapokuwa mikononi mwa jeshi la polisi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola .

Wakitangaza uamuzi Jijinji Dar es salaam Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Mtandao wa Kutetea Haki za Binadamu (THRDC) pia walitangaza kuanzishwa kwa operesheni maalum iliyopewa jina la Tetea haki za Watuhumiwa lengo ni kuwatetea watuhumiwa wa makosa mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari, mratibu wa Mtandao wa Kutetea Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) Onesmo Olengurumo amesema, "tunampongeza Waziri wa Mambo ya Ndani kwa kujitokeza kuwatetea baadhi ya watuhumiwa nchini".

"Kwa mujibu wa sheria jeshi la polisi lina wajibu wa kumpa mtuhumiwa haki yake ya kupata msaada wa kisheria kitu ambacho kwa Loliondo imekuwa shida na hii ni kwa maeneo yote ya vijijini siyo Loliondo pekee", ameongeza Onesmo Olengurumo.

Mara kwa mara Kangi Lugola amekuwa akiwachukulia hatua baadhi ya Makamanda wa Polisi ambao wamekuwa hawatoi haki kwa wartuhumiwa wa matukio mbalimbali ya kiuhalifu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava