Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Katavi : Mbaroni sababu ya vyeti feki

Alhamisi , 7th Nov , 2019

Mtumishi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Deodatus Jabir (46), anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa makosa ya kughushi cheti cha Udereva kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), pamoja na kutoa nyaraka za uongo ili kujipatia ajira.

Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Katavi, Christopher Nakua, amesema Deodatus alitenda kosa hilo mwaka 2009, kwa kuwasilisha cheti hicho kwa mwajiri wake, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa na kufanikiwa kujipatia ajira huku akijua hajasoma elimu yeyote.

"Kosa lililofanywa na mtumishi huyo wa Halmashauri ni kujipatia ajira kwa kutumia nyaraka za kughushi ni kinyume na vifungu vya 333, 335,337,na 342 vya sheria ya kanuni na adhabu sura ya 16 (toleo la 2002)" amesema Nakua.

Aidha TAKUKURU inatoa wito kwa watumishi wa umma na jamii kwa ujumla, kutojihusisha na vitendo vya kijinai kama kuwasilisha nyaraka za uongo ili kujipatia ajira au kwa manufaa yoyote ambayo ni kinyume na sheria.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava