Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya DC mpya wa Ilala baada ya kuteuliwa

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi mbalimbali za uongozi huku akiwaomba watendaji wenzake wapya kumpa ushirikiano ili aweze kutimiza kazi aliyopewa kwa ufanisi.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ng'wilabuzu Ludigija.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 10, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, ikiwa ni siku moja tu imepita tangu Rais Magufuli amteue kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, kutoka katika nafasi ya Ukurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni.

"Nimshukuru sana Mh Rais kwa kuendelea kuniamini, tumekuwa hapo Manispaa ya Kigamboni tumefanya mambo makubwa lakini kwa jukumu hili jipya ni jukumu kubwa na Ilala ni wilaya ya kibiashara na wananchi wengi wanategemea sana Ilala niwaombe watumishi wa Ilala kunipatia ushirikiano ili tuhakikishe kwamba tunawatumikia wananchi wetu" amesema Ludigija.

Aidha Ng'wilabuzu akataja vipaumbele vyake, "Niseme kwamba mimi ni mtu ambaye napenda sana kutembea Site nijue eneo ambalo nalisimamia lakini pia nitahakikisha napata muda wa kuwa ofisini ili niweze kuwahudumia makundi yote wale wenye shida ya mtu mmoja mmoja nao watapata kuhudumiwa".

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine