Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Pierre yaibuka Bungeni

Jumanne , 2nd Apr , 2019

Usemi wa mchekeshaji Pierre Likwidi 'utabaki kuwa juu, 'juu kileleni', umeibuka Bungeni wakati wa vikao vya bajeti ambavyo vimeanza Jijini Dodoma, ambacho kilianza kwa kipindi cha maswali na majibu kwa Wizara ya Maji ambapo Naibu Waziri, Juma Aweso alitumia usemi maarufu wa Pierre

Pierre Likwidi

Likwidi wakati akijibu swali.

Majibu ya Naibu Waziri yalitokana na swali lililoulizwa na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje ambaye alihoji ya kutokamilika kwa miradi ya maji kwenye baadhi ya miradi katika jimbo lake.

"Kwa kuwa miradi mingi ya maji imesimamama kwenye Wilaya ya Mpwapwa na Kongwa hivi sasa wananchi wanakosa maji, kwa sababu wakandarasi hawajalipwa ni lini wakandanarasi watalipwa ili wananchi wapate maji", ameuliza lubeleje.

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Juma Aweso amesema kwa sasa serikali iko mbioni kuhakikisha wakandarasi wanalipwa.

"Ni kweli tulikuwa na wakandarasi zaidi ya milioni 100.5 lakini tumeona wakandarasi wanaopaswa kulipwa, nimhakikishie kama ana certifacte yake, haijalipwa aniambie nimlipe na baada ya kumlipa nimwambie atabaki kuwa juu, juu kileleni".

Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii kuliibuka sintofahamu juu ya kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda juu ya kupewa kipaumbele kwa baadhi y watu ambao wamekuwa hawana umuhimu kwenye jamii.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe