Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Richie kuhusu Bongofleva kuingilia filamu

Jumanne , 12th Nov , 2019

Msanii na mtayarishaji wa filamu Single Mtambalike, amewakataza watu kusema kuwa wasanii wa  BongoFleva, wamekuja kuchukua nafasi zao kutokana na kuwepo kwa wimbi la baadhi ya wasanii hao kuanza kuigiza filamu.

Msanii na mtayarishaji wa filamu Single Mtambalike.

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Single Mtambalike amesema, fani ya kuigiza ina kila mtu na sio ya BongoMovie peke yao.

"Mimi nataka wasiwe wanasema hivyo kwenye masuala yao, huwa nachukia sana, kuhusu kuja kuchukua nafasi zetu kwani sisi ni nani, sisi hapa sio kwetu hii Tanzania ina wenyewe na uigizaji una kila mtu, hakuna mwenye nayo, hata kwenye muziki kulikuwa na kina T.I.D sasa hivi kuna wengine" amesema Single Mtambalike.

Aidha Single Mtambalike ameongeza kuwa, "Kila mtu ana wakati wake kama wakija huku na kufanya vizuri  itakuwa ni wakati wao kufanya hivyo, tukiwa sisi itakuwa hivyohivyo pia, mimi nasema waje tu tena Mungu awajaalie wafanye vizuri, hata sisi heshima yetu itakuwa bado inakumbukwa ila isije kufa kabisa kwa sababu tutasahaulika".

Baadhi ya wasanii ambao sasa hivi wanafanya filamu ni Lulu Diva, Nandy, Quick Rocka, Alice Kella na Gigy Money.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu