Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kazi ya Urais sio ya kustarehe" - JPM

Jumapili , 7th Apr , 2019

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameendelea na ziara yake Mkoa wa Ruvuma ambapo amezungumza na wananchi na kuwaahidi kuwapatia umeme.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Akizungumza na wakazi wa Ruvuma Rais Magufuli amesema awali wananchi walikuwa wanatumia jenereta ili kupata umeme lakini kupitia mradi wa umeme wa gridi ya taifa na ujenzi Strigler Gorge utapunguza tatizo la umeme nchini.

"Tulikuwa tunatumia umeme wa jenereta ambao ulikuwa hautoshi, kwa hiyo tumeweka Megawats zaidi ya 48 ili kuwe na umeme wa kutosha sasa tunatumia Gridi ya Taifa kilichobaki ni kusambaza kwenye vijiji vyote, Dkt Kalemani wewe ni Waziri nakutaka ukafanyie kazi kwenye REA awamu ya tatu vijiji vilivyobaki vipate umeme." amesema Rais Magufuli

Awali katika tukio hilo Rais Magufuli alilazimika kuomba ridhaa ya kuvaa kofia kufuatia kuchomwa na jua kali pindi alipokuwa amesimama juu ya gari.

"Mnaniruhusu jamani nivae kofia, unajua sisi wenye vipara unatandikwa jua mpaka unajisikia mwenyewe vipi vijana mnaniruhusu?" aliuliza Rais Magufuli

"Mimi siku zote nitaendelea kuwa mtumishi wetu, suala la kupewa kazi ya urais sio kwenda kustarehe"aliongeza Rais Magufuli

Rais Dkt John Pombe Magufuli Aprili 5, 2019, alianza ziara ya kikazi ya siku 6 Mkoa wa Ruvuma akitokea mkoani Mtwara ambapo alifanya ziara ya siku 3.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava