Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya Afisa wa Jeshi mbaroni kwa kumnyonga Mkewe

Jumatatu , 18th Nov , 2019

Afisa wa Jeshi nchini Kenya Peter Mwaura, amedaiwa kuwauwa kwa kuwanyonga watoto wake wawili pamoja na mkewe na kuwazika katika kaburi la pamoja eneo la Nanyuki, nchini Kenya.

Afisa wa Jeshi nchini Kenya Peter Mwaura,akiwa mikononi mwa Polisi

Maafisa wa uchunguzi wanaochunguza tukio hilo, wamesema miili ya Mama na wanawe wawili, waliotoweka wiki tatu zilizopita eneo la Nanyuki, Kaunti ya Laikipia baada ya kumtembelea Peter Mwaura, ambaye ni Afisa wa Jeshi wa kikosi cha Wanahewa cha Laikipia Airbase.

Kwa mujibu wa Afisa anayefuatilia upelelezi wa kesi hiyo Muinde Mwau, mshtakiwa Peter Mwaura atafikishwa mahakamani hii leo Novemba 18, 2019, huku upasuaji wa miili hiyo ukitarajiwa kufanyika hivi karibuni, kwa ajili ya uchuguzi wa tukio hilo.

Kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Joyce Wambua, alimtembelea aliyekuwa mumewe Peter Mwaura ambaye ni Afisa wa Jeshi, kutoka Nairobi hadi Nanyuki, lakini siku iliyofuata Wambua na mwenzake hawakuonekana, na simu yake ikipatikana kwenye gari la abiria ikidaiwa kuwa ilikuwa njama ya kupoteza ushahidi wa mauaji hayo.

Inadaiwa kuwa Afisa huyo alichukua hatua hiyo baada ya kuagizwa na Mahakama kulipa kitita cha shilingi Elfu 75000, kila mwezi kama ada ya utunzaji watoto, hii ni baada ya kuachana na mkewe pesa ambazo alizilipa kwa miezi mitatu tu kabla ya kufanya kitendo hicho cha kinyama.

                   Mke na watoto wa wawili wa Afisa wa Jeshi ambao wanadaiwa kunyongwa

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu