Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya : Watanzania mbaroni wakijifanya walemavu

Jumapili , 15th Sep , 2019

Jeshi la Polisi Kenya linawashikilia Watanzania 6 kwa tuhuma za kufanya shughuli za ombaomba eneo la Makueni, lilipo Mashariki mwa nchi hiyo.

Kamanda wa Polisi wa Makueni Joseph Ole Napeiyan, amesema Watanzania hao wamekuwa wakitumia viti vya watu wenye ulemavu, na kufanya shughuli zao za kuomba katikati ya Makueni.

Siku za hivi karibuni tulipokea malalamiko kutoka kwa  wakazi wa maeneo ya Migori wakilalamikia kuwepo kwa watanzania hao ambao wamekuwa wakifanya shughuli hizo za kuomba msaada kwa wakenya” Amesema RPC Makueni, Joseph Ole Napeiyan

Ameongeza kuwa kati ya hao Watanzania 6, mwanaume ni 1 na wanawake 5 huku mwanamke mmoja akiwa na mtoto, na kueleza jeshi hilo kuwashikilia kwa ajili ya uchunguzi.

Hivi karibuni uongozi wa Serikali eneo la Migori, uliomba Serikali ya Kenya kuwaondoa ombaomba wote wa Kitanzania waliopo nchini humo.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji