Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yafunga mipaka ya Tanzania ya Somalia

Jumamosi , 16th Mei , 2020

Kenya imethibitisha kuwepo kwa kesi mpya 49 za maambukizi ya Covid-19 na kufanya kuwa na jumla ya kesi 830, huku vifo vikifika 50.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

Akihutubia taifa leo Mei 16, 2020 Rais Uhuru Kenyatta ametangaza pia kuongeza siku 21 za lockdown nchi nzima muda wa jioni hadi asubuhi, pamoja na kufunga mipaka ya Tanzania na Somalia kwenye baadhi ya huduma.

''Tunaongeza siku 21 za 'lockdown' nchini lakini mipaka yetu ya Tanzania na Somalia tunaifunga lakini upande wa usafirishaji wa bidhaa tunaachia kwa makubaliano ya madereva kupimwa Covid-19 na kuonyesha vyeti mipakani'', amesema Uhuru.

“Watu wengine watano wamefariki baada ya kuugua corona na kufanya idadi ya waliofariki na corona kufikia 50,  tuna wagonjwa wapya 49 pia na hii inafanya maambukizi ya corona kufikia 830 Kenya, wagonjwa 17 wamepona na kufanya waliopona kufikia 301” - Kenyatta.
 

Msikilize hapo chini akieleza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava