Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigogo CCM ahoji mapato ya TRA

Jumatatu , 10th Dec , 2018

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheki ameitaka mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutekeleza kiukamilifi maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzannia, Dkt John Magufuli juu ya kupunguza kodi zisizokuwa za msingi.

Chama Cha Mapinduzi

Kagasheki ambaye ni miongoni mwa makada wakubwa wa Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia alihudumu kwa nafasi mbalimbali nchini ikiwemo Uwaziri pamoja na ubunge ametoa kauli hiyo baada Rais Magufuli kuitaka TRA kufanya maboresho makubwa ndani ya taasisi.

Kagasheki amesema " niombe TRA maagizo haya ya Rais myatekeleze na sio kusema “tunayafanyia kazi”, private sector yetu inadidimia biashara nyingi zimefungwa na nyingine nyingi zimehamishiwa nchi jirani. sina uhakika hii inatafsiri gani katika makusanyo yenu."

Mapema leo akizungumza na Wakuu wa Mikoa na Mawaziri na Wakuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Rais Magufuli amesema "inathibitisha kuwa ufanisi wetu kwenye ukusanyaji kodi nchini bado ni mdogo, hatutakiwi kujipongeza kwa kujilinganisha na nchi za wenzetu kama Kenya, viwango vya kodi vya nchini inawezekana viko juu ndiyo maana kuna malalamiko kwa wananchi".

"Mfano kodi ya majengo ni kubwa sana, majengo yaliyosajiliwa mpaka sasa ni milioni 1.6 napenda kurudia kodi ya majengo iwe shilingi elfu 10 kwa nyumba ya kawaida, na shilingi 20 kwa nyumba za juu na shilingi elfu 50 kwa nyumba za mjini, zitozwe kulingana na hati ya kiwanja, na si idadi ya nyumba kwenye kiwanja,"ameongeza Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava