Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijana wa miaka 22 ambaka mwanamke wa miaka 27

Jumatano , 4th Dec , 2019

Mahakama ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, imemuhukumu Kijana Mahadi Elias maarufu kwa jina Maiko, mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani humo, kifungo cha miaka 30 jela kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 27.

Hukumu hiyo imetolewa Jana Disemba 2, 2019, na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Joel Mnguto, ambapo Maiko amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kutakiwa kumlipa fidia mwanamke huyo ya Shilingi laki tatu kwa kosa la kufanya kitendo cha ubakaji huku akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria.

Inadaiwa Maiko alitenda kosa hilo April 5, 2019, majira ya usiku, katika kijiji cha Sange, baada ya kumvamia mwanamke huyo chumbani alikokuwa amelala na kisha kumuingilia kimwili bila ridhaa yake, huku akimuwekea kisu shingoni na kumtisha kuwa asipokubali atamuuwa kwa kumchinja.

Awali mtuhumiwa alikana kosa hilo ambapo upande wa mashtaka ulilazimika kuleta mashahidi 11 ili kuthibitisha kosa hilo, ambapo pamoja na mshtakiwa kujitetea, ushahidi ulipokamilika mtuhumiwa alikutwa na hatia.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine