Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijiji chakosa shule kwa zaidi ya miaka 20

Jumanne , 1st Dec , 2020

Baada ya kukaa miaka 20 bila kuwa na shule ya msingi, wananchi wa Kijiji cha Lelgu wilayani Kiteto mkoani Manyara hatimaye wamefanikiwa kujenga madarasa saba na kufanikiwa kukamilisha manne na kuiomba serikali kuwasaidia katika kupaua madarasa yaliyobaki.

Miongoni mwa majengo ya shule yaliyojengwa na wananchi wa Kijiji cha Lelgu.

Mbali na hilo wananchi hao pia wameiomba serikali kuipatia shule hiyo usajili ili kuondoa adha ambayo walikuwa wakiipata watoto wao, kutembea umbali mrefu na wakati mwingine kukosa masomo

Wakizungumza na EATV wananchi hao akiwemo Kipongo Sabulei na Ester Lemati, wamesema kuwa jitihada kubwa zimefanywa na wananchi katika kujitolea kwa hali na mali ili kufanikisha kijiji chao kuwa na shule jambo ambalo kwa sasa wamekamilisha madarasa hayo.

Kwa upande wake mbunge wa jimbo la Kiteto, Edward Ole Lekaita, amepongeza jitihada hizo za wananchi na kusema hatokuwa nyuma katika kuwasaidia wananchi ambao wamekuwa wakielekeza nguvu kubwa katika kuibua miradi wao wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine