Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kila mtanzania kupimwa matumizi ya dawa za kulevya

Alhamisi , 8th Dec , 2016

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imesema itaanza kuwapima wananchi kupitia makundi mbalimbali wakiwemo wanafunzi kubaini endapo wanatumia dawa za kulevya ili hatua stahiki zichukuliwe.

Prof Samuel Manyele - Mkemia Mkuu wa Serikali akiwa na ya Studio za EA Radio

Ofisi hiyo itakuwa ikiangalia sumu ambazo hupatikana kutokana na matumizi ya dawa ya kulevya, zoezi ambalo litafanyika kwenye mashule, madereva na sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi lengo likiwa ni kuwachukulia hatua za kisheria wahusika.

Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele wakati akizungumza na EATV na East Africa Radio kuhusu jitihada zinazochukuliwa na serikali katika kudhibiti sumu ambazo zinauzwa mitaani bila kuwa na maelezo elekezi ya kuzitumia na kusababisha madhara kwenye jamii inazozitumia.

Amesema kuwa zoezi hilo la upimaji sumu zinazopatikana kutokana na matumizi ya dawa za kulevya linafanyika baada ya serikali kufanikisha kuanzishwa kwa kitengo maalumu cha kuratibu matokeo ya sumu nchini ambacho kipo chini ya mkemia mkuu wa serikali.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava