Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichowafanya Mdee na wenzake 18 wasiende kikaoni

Jumanne , 1st Dec , 2020

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA), wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,CHADEMA, Halima Mdee amesema kuwa uamuzi wakutokuhudhiria  kikao cha kamati kuu ulikuwa ni uamuzi wa busara kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA), wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,(CHADEMA), Halima Mdee

Akizungumza leo katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mdee, amesema kuwa hawakuweza kuhudhuria kikao cha Kamati kuu kutokana na kuwepo na mpango wa kufanyiwa fujo na baadhi ya wanachama huku akisema walimtumia katibu mkuu barua ya kutaka kikao hiko kisogezwe.

“Tuliandika barua ya kutaka kikao hiko kisogezwe tulijibiwa na tulikataliwa na kwa sababau hakukuwa na  mazingira ambayo yalituonyesha zile sababu mbili ambazo tumezitoa zimepatiwa masuluhisho tulidhani kibinadamu ni busara kuto kwenda sio kwamba tulidharau chama wala kikao” amesema Mdee

Aidha kuhusiana na wao kuvuliwa uanachama wao na na nyadhifa zao zote kwenye chama, Mdee amesema kuwa yeye na wenzake wataendelea kuwa wanachama wa chama hicho mpaka rufaa zao zitaposikilizwa.

“Tutabaki Chadema kama wanachama wa hiari, japo tumefukuzwa ila hatutoondoka sisi ni wanachama ving’ang’anizi, hatuondoki Chadema mpaka pale tutakapoenda kusikilizwa rufaa zetu, na tunaamini tutayamaliza na tutaenda kuyajenga ndani kwetu” amesema Mdee

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine