Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinana asamehewa, Magufuli amtumia salamu Membe

Ijumaa , 10th Jul , 2020

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimemsamehe aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana, aliyekuwa amesimamishwa baada ya kupewa adhabu ya kalipio la miezi 18, baada ya kukiuka maadili ya chama na kusema kuwa kuanzia sasa anakaribishwa kuendelea kushiriki na wanachama wenzake.

Kushoto ni aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, katikati ni Rais Dkt Magufuli na kulia ni aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.

Rai na msamaha huo umetolewa leo Julai 10, 2020, na Mwenyekiti wa chama hicho Dkt Magufuli, wakati chama hicho kikiendelea na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama ikiwemo uchaguzi wa kupata jina la mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwa ajili ya kugombea Urais wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Ndugu yetu huyu aliomba radhi hadharani ni kitendo kigumu sana kwa watu wa kawaida kukifanya, mimi alinigusa sana,nina uhakika hata ninyi Wajumbe iliwagusa sana, alikuwa amepewa adhabu ya kalipio la miezi 18, na hakukataa na mpaka sasa ametumikia miezi mitano sasa, niliona ndugu zangu niwaombe kama itawezekana tumsamehe" aliomba Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli akimzungumzia aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe amesema kuwa, "Yule mwingine ambaye sitaki kumtaja jina, yule ameshaondoka moja kwa moja adhabu ile si mmeikubali ya kumfukuza moja kwa moja?".
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu