Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kingunge ang'oka CCM

Jumatatu , 5th Oct , 2015

Mwanasiasa mkongwe na muasisi wa chama cha mapinduzi CCM mzee Kingunge Ngombare Mwiru leo ametangaza rasmi kuachana na chama chake alichokitumikia kwa muda mrefu kwa madai ya ukiukwaji wa demokrasia ndani ya chama hicho.

Mwanasiasa mkongwe na muasisi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mzee Kingunge Ngombare Mwiru.

Akizungumza katika mkutano na wanahabari nyumbani kwake jijini Dar es Salaam, jana alasiri, Mzee Kingunge amesema hafikirii kujiunga na chama chochote cha siasa baada ya kushiriki harakati za kisiasa na kijamii kwa takribani miaka sitini na moja sasa.

Hata hivyo Kingunge ambaye amekuwa ndani ya chama kwa muda wa miaka 61 amesema hafikirii kujiunga na chama kingine cha siasa na kuwa yeye ni raia huru mwenye haki zake za kisiasa na kijamii na taendelea kuwa na msimamo kuhusiana na masuala ya maendeleo.

Kwa mujibu wa mzee Kingunge, anachukua uamuzi huo wakati nchi ikiwa katika vuguvugu la watu kutaka mabadiliko kutoka kwa makundi yote katika jamii na kwamba yeye anaunga mkono mabadiliko hayo kwani wanaoyataka wana sababu za msingi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava