Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinondoni,Ilala washindwa kufanya uchaguzi wa Meya

Ijumaa , 11th Dec , 2015

Mchakato wa kuwapata Meya wa Manispaa ya Kinondoni na Ilala jana umeshindikana baada ya malalamiko kutoka kwa madiwani na wabunge wa vyama vya upinzani kudai kuhujumiwa.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bw, Mussa Natty

Katika halmshauri ya Kinondoni madiwani wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamedai kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM), kilichomeka Mamluki kutoka Zanzibar kuelekea upigaji kura.

Wakitoa malalamiko yao baadhi ya Wabunge wa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuna hujuma ambayo inataka kufanyika kutokana na vyama vya upinzani kushikilizia viti vingi Jijini Dar es Salaam

Akizungumza mara baada ya Uchaguzi huo kuahirishwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bw, Mussa Natty amesema kuwa wanafuatilia masuala ya kisheria juu ya Wajumbe hao wanaolalamikiwa kisha watatolea maamuzi na kutaja tarehe nyingine ya Uchaguzi.

Wakati huo huo Uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Ilala nao uliingia Dosari na kuahirishwa ambapo upigaji wa kura utaendelea leo kutokana na mkanayingo wa jinsi ya upigaji kura huku vyama vya upinzani wakitaka uwe wa wazi na CCM wakitaka uwe wa siri.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava