Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinyago chaundwa kwa miaka 4, chauzwa milioni 50

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Unapostaajabu kazi ya sanaa ilivyo, yakupasa kufikiria na ubunifu wa watengenezaji wa kazi zenyewe ikiwemo vinyago vyenye muundo wa aina mbalimbali.

Muuzaji wa kinyago chenye thamani ya milioni 50

Ukipita katika eneo la Mwenge Jijini Dar es Salaam, sehemu panapouzwa vifaa mbalimbali vya sanaa maarufu kama Vinyago, utakutana na kinyago kilichochongwa kwa zaidi ya miaka minne kuanzia mwaka 2008 na kukamilika June 2012, kinyago kilichomlazimu mchongaji kutumia akili kubwa zaidi ili kukimaliza.

Inaelezwa kuwa kinyago hicho kilichongwa na mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Joacqim Mpende, na mfanyabiashara wa kinyago hicho anaitwa Vitaly Katani, ambapo ameeleza kuwa bei ya kinyago chake kwa sasa ni milioni 50.

Inadaiwa wamekuwa wakipatikana wateja wa kukinunua, lakini changamoto iliyopo ni namna ya upatikanaji wa vibali vya kusafirisha kazi ya sanaa nje ya nchi.

Mtazame hapa akizungumza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava