Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kipato cha Mtanzania kwa mwaka chafikia Mil. 2.4

Alhamisi , 13th Jun , 2019

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango amebainisha kuwa kipato cha mwananchi mmoja mmoja kwa mwaka 2018 kimefikia Milioni 2.4 ikiwa sawa na ongezeko la asilimia 5.6 ukilinganisha kwa mwaka 2017.

Waziri Mpango amebainisha hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha hoja juu ya hali ya uchumi na mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na 2019/2020.

Waziri Mpango amesema, "sekta zilizotoa mchango mkubwa kwenye pato la taifa ni kilimo asilimia 28.2, ujenzi asilimia 13.0, biashara na matengenezo asilimia 9. 1. Mwaka 2018 pato la wastani la kila mtu lilifikia zaidi ya Milioni 2,458,496 sawa na ongezeko la asilimia 5.6".

"Kwa mujibu Ofisi ya Taifa ya Takwimu, pato halisi la taifa lilikuwa kwa asilimia 7.0 kwa 2018, ukuaji ulichangiwa na uwekezaji wa ujenzi wa miundombinu, kama viwanja vya ndege, na kuimarika kwa vyanzo vya umeme na kukua shughuli za burudani", amesema Dkt Mpango.

Leo Juni 13, 2019 Wizara ya Fedha inawasilisha Makadirio ya fedha na mpango wa maendeleo kwa mwaka 2019/2019.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine