Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa cha Askari na Waandishi,kifo cha Nyerere

Jumatatu , 14th Oct , 2019

Wakati Watanzania wakiungana kwa pamoja kuazimisha miaka 20 tangu kitokee kifo cha Baba wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere, moja ya matukio ambayo yanakumbukwa zaidi ni tukio la kupigwa mtama kwa aliyekuwa Msaidizi wa wa RPC wa Mkoa wa Dar es salaam, Alfred Gewe,

ambaye alifahamika kwa ajila la James Kombe.

James Kombe alipigwa mtama na baadhi ya wapiga picha ambao walijitokeza kwenye kushiriki kuupokea mwili wa Hayati Baba wa Taifa, ambapo walikuwa wanapiga picha kwa ajili ya kuzichapisha kwenye vyombo vyao vya habari lakini yeye akawa anawazonga,

Akisimulia kisa hichoa aliyekuwa mpiga picha wa Gazeti la Majira, wakati akihojia na Mtangazaji wa East Africa Radio, Charles William amesema, "Wakati wakupokea mwili wa Baba wa Taifa kulikuwa na Msaidizi wa RPC Dar es salaam Alfred Gewe, aliyejulikana kwa jina la James Kombe, alipigwa mtama na wapiga picha, alikuwa akiwazonga, wasipige picha na kushuhudia mapokezi ya kipenzi cha Watanzania, Nyerere alikuwa kipenzi cha kila mtu."

Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa Bara la Afrika ambao waliratibu kupatikana kwa uhuru kwa nchi nyingi zilizopo kusini mwa bara la Afrika kwa kushirikiana na wenzake wakina Nelson Mandela.

Pia Leo Oktoba 14, 2019 ni mwisho wa kujiandikisha kwa wananchi kwenye daftari la mpiga kura, kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava