Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubenea aeleza sababu za kuikacha Ubungo

Jumatano , 12th Aug , 2020

Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amesema yeye kutokugombea tena jimbo hilo na kwenda Kinondoni si kwamba anamuogopa mgombea wa jimbo hilo kupitia CHADEMA bali ameamua kurudi nyumbani na amefanya hivyo kwa kuwa hataki dhambi ambayo ingesaidia Jimbo hilo kwenda CCM.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni, Saed Kubenea.

Kubenea ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kuongeza kuwa yeye amekuwa maarufu kabla ya Boniface Jacob na hivyo ameamua kumpisha kwa sababu amekuwa akitamani siku nyingi kumuona akiwa ni Mbunge.

"Nawezaje kumkimbia Boniface, mimi nimekuwa mashuhuri kabla yake, mimi napenda awe Mbunge na ashinde, lakini mimi chama changu cha ACT kina mgombea pale na napenda hao watu wawili wakae wakubaliane kwa sababu kuna hatari hilo Jimbo kwenda CCM, nimuogope Boniface kwanini nisiwaogope CCM, kwanini nisimuogope Tarimba, kina Iddi Azan nimuogope yeye na mimi sina tabia ya kuogopa", amesema Kubenea.

Aidha Kubenea amezitaja sababu zilizopelekea kutokugombea jimbo hilo la Ubungo ni kutokana na migogoro iliyokuwepo awali kwenye chama chake cha CHADEMA ikiwemo kusakamwa bila sababu za msingi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu