Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubenea amkalia kooni Mwigulu

Jumatano , 21st Feb , 2018

Mbunge wa Ubungo, Mh. Said Kubenea amesema anaungana na wote wenye msimamo wa kumtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Dkt Mwigulu Nchemba ajiuzulu. 

 

Kubenea amesema kwamba Waziri Mwigulu anapaswa kufanya hivyo kwa kuwa hana haiba nzuri ya uongozi kwa kushindwa kutumia vizuri nafasi yake kama Waziri ikiwa ni pamoja na matamshi yake anayoyatoa kuelekeza kwa CHADEMA kuhusika na shambulio lililopelekea kifo cha mwanafunzi wa chuo cha usafoirishaji (NIT).

Katika mkutano wake na wanahabari, Kubenea amesema kwamba moja ya kauli ya mwigulu aliyoitoa ni ile iliyonukuliwa kwenye mtandao mmoja akihoji kwanini ajiuzulu wakati CHADEMA ndiyo wanahusika na mauaji? na kuongeza kwamba tangu waziri huyo alipokuwa Kiongozi wa juu wa CCM hakuwahi kuwa na maadili ya kuizungumzia CHADEMA kwani amekuwa akiihusisha chama hicho na mambo ya kihalifu.

Pamoja na hayo, Kubenea amedai kwamba kama Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni angetoa vibali vya viapo vya Uchaguzi mapema, CHADEMA wasingeandamana na huu uchunguzi ungekua halali haya yote yasingetokea

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji