Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubenea amkalia kooni Mwigulu

Jumatano , 21st Feb , 2018

Mbunge wa Ubungo, Mh. Said Kubenea amesema anaungana na wote wenye msimamo wa kumtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Dkt Mwigulu Nchemba ajiuzulu. 

 

Kubenea amesema kwamba Waziri Mwigulu anapaswa kufanya hivyo kwa kuwa hana haiba nzuri ya uongozi kwa kushindwa kutumia vizuri nafasi yake kama Waziri ikiwa ni pamoja na matamshi yake anayoyatoa kuelekeza kwa CHADEMA kuhusika na shambulio lililopelekea kifo cha mwanafunzi wa chuo cha usafoirishaji (NIT).

Katika mkutano wake na wanahabari, Kubenea amesema kwamba moja ya kauli ya mwigulu aliyoitoa ni ile iliyonukuliwa kwenye mtandao mmoja akihoji kwanini ajiuzulu wakati CHADEMA ndiyo wanahusika na mauaji? na kuongeza kwamba tangu waziri huyo alipokuwa Kiongozi wa juu wa CCM hakuwahi kuwa na maadili ya kuizungumzia CHADEMA kwani amekuwa akiihusisha chama hicho na mambo ya kihalifu.

Pamoja na hayo, Kubenea amedai kwamba kama Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni angetoa vibali vya viapo vya Uchaguzi mapema, CHADEMA wasingeandamana na huu uchunguzi ungekua halali haya yote yasingetokea

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine