Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kubenea , Komu waomba radhi

Alhamisi , 18th Oct , 2018

Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa ya kutaka kumzuru moja ya kada wa Chama hicho ambao ni Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea pamoja na Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu wameomba radhi baada ya kuhojiwa na kamati kuu ya Chama hicho.

Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea akiwa na Mbunge Anthony Komu wa Moshi Vijijini.

Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu bara, John Mnyika wajumbe wa  kamati kuu ya chama hicho kiliwakuta  na hatia wabunge hao baada ya kukiri kuwa sauti zilizosambaa ni zao ambapo walitangaza kuwapa adhabu mbalimbali.

Akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Athony Komu wameomba radhi kwa baadhi ya viongozi ambao wametajwa kwenye sauti iliyokuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa niaba yangu binafsi wananchi wa ubungo na chama changu nichukue nafasi hii kusema yaliyotokea siku hiyo ilikuwa ni bahati mbaya sana, tunaomba radhi kwa chama chetu na wengine wote waliomuizwa na tukio hilo.”Amesema Kubenea

Nataka niseme chama ni kikubwa kuliko sisi wote, tumeshawasilisha barua ya kuomba radhi kwa yaliyotokea na sasa tunaomba radhi kwa chama chenyewe na wapenzi wote wa chadema, na zaidi wale ambao walitajwa tunawaomba radhi, ninamuomba radhi sana mwenyekiti Mbowe, Meya Jakob Borniface wa Ubungo.” Amesema Komu

Katika kikao cha kamati kuu ya Chama hicho wabunge hao wamepewa adhabu nne ikiwemo kuvuliwa nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, kuwa kwenye uangalizi kwa kipindi cha miezi 12, kuandika barua ya kuomba radhi kwa chama, pamoja na kupewa onyo kali.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto