Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuchangia chama ni lazima - Mbunge CHADEMA

Jumanne , 16th Oct , 2018

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Gibson Meiseyeki amekosoa madai ya aliyekuwa Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul kuwa miongoni mwa sababu zilizopelekea kiongozi huyo kujiuzulu ni kuwepo kwa michango mingi ndani ya chama hicho.

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gibson Meiseyeki

Moja ya sababu ambayo Pauline Gekul aliitaja wakati akijiuzulu nafasi yake ndani ya CHADEMA hivi karibuni ni kutozwa michango mingi kwa wabunge licha ya chama hicho kupokea ruzuku ya milioni 300 kwa mwezi.

Akizungumza na www.eatv.tv iliyotaka kupata maoni yake juu ya sababu za kujiuzulu kwa mbunge wa Babati, Gibsson Meiseyeki amesema,

Kwa mwanachama wa chama chochote kuchangia ni lazima, ni kitu tunakipenda, mbunge kuchanga milioni 2 ni hela ngapi lakini kiukweli hakuna mbunge anayechanga milioni 2, ila kuna gharama kidogo ambazo hata wanaotumia kwenye mitandao wanazitoa.

Hata hivyo michango hiyo iko kimahesabu hakuna mtu anayeonewa, na hata hivyo haiwezi kuwa ajenda ya mtu kuhama chama bali ni umasikini wa fikra. Ameongeza Mbunge huyo.

Mapema mwezi huu, Mbunge mteule wa Jimbo la Ukonga Mwita Waitara aliwahi kunukuliwa akisema, "katika zile Arumeru mbili mbunge mmoja atahama muda si mrefu, na hapa Dar es salaam kuna mbunge mmoja atahama, nilisema wabunge watano wamesharudi wawili, tayari Marwa Ryoba, na James Ole Milya wamesharudi, kwa hiyo tutegemee jambo lolote kuanzia sasa kwa wabunge mkoa wa Dar es salaam na Arusha."
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu