Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kundi la fisi lashambulia wananchi Geita

Jumatatu , 15th Feb , 2021

Watoto wawili wamefariki dunia na watu wanne kunusurika kifo baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na kundi la fisi ambao wamekuwa wakiingia mara kwa mara vijijini, wakati wakitoka shambani  wilayani Nyang'hwale mkoani Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Wilson Shimo

EATV ilifika Wilayani humo na kuzungumza na baadhi ya viongozi wa kijiji ambao wamesema matukio ya fisi kuvamia kaya za watu yamekuwa yakijitokeza mara nyingi hali inayopelekea wananchi kuishi kwa mashaka kwa kuhofia uhai wao.

"Hii hali ipo wiki mbili zilizopita hapo bupamba aliliwa mtoto wa mika kama nanae hivi na fisi usiku akamalizwa kabisa, yametokea matukio mawili moa nyaghamila na moja hapa izingwa, hukun lilishambuliwa watu wazima" amesema Mtemi Saleh Nzera Kiongozi wa Kimila.

"Jana nilipata habari kuna mtoto kangatwa na fisi akiwa anatoa mahindi ya kwenda kupika chakula cha jioni ilikuwa majira ya saa kumi na moja jioni akawa maejeruhiwa na yuko hospitalai anaendelea na matibabau kwahiyo hii hali inazidi kutodhoofisha katika mipango yoyote ya kimaendeleo" amesema Kafola Vicent Mwenyekiti wa Kitongoji Butalanda

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Mariam Chaurembo amekiri uwepo wa kundi la fisi wanowashambulia watoto nakusema kuwa tayari wadau wanaohusika na wanyama pori washawasili wilayanai hapo kwa ajili ya kuwawinda na tiyari wameshakamata fisi sita akisema kuwa tiyari wameshawaruhusu wanakijiji kuiwawinda fisi hao ili waweze kuuwawa kutokana na kukithiri kwa matukio hayo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Wilson Shimo amesema wameshatoa tahadhari kwa wananchi waweze kuwatunza watoto hususan katika kipindi cha jioni na asubuhi wasiwe wanatembea wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava