Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kura za siri kupigwa kubaini wabakaji

Ijumaa , 15th Feb , 2019

Halmashauri ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imeanza kupiga kura ya maoni ya siri katika vijiji vyote vya tarafa tano za wilaya hiyo ili kuwabaini wahalifu wa matukio ya ubakaji na ulawiti ambayo yanaonekana kukithiri.

Kaimu katibu Tawala wa wilayani mufindi Joseph Mchina amesema kura ya siri ya maoni imeanza tangu Januari katika vijiji na mitaa na baadae litafanyika katika taasisi za elimu zikiwemo shule za sekondari, msingi na vyuo ili kuwabaini watu wanaohusika na matukio hayo.

"Siku ya Jumatatu tutakuwa na kikao na wakurugensi pamoja maafisa elimu pamoja na wadhibiti ili kuangalia namna ya kufanya shughuli hiyo bila kuathiri elimu" Amesema.

Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa mafinga  Charles makoga amesema kuwa sababu za matukio ya kikatili ya ubakaji na ulawiti katika mkoa wa iringa zinachagizwa na imani za kishirikina mambo ambayo yanatokana na ukosefu wa elimu.

"Watu wanawachukua vitoto vidogo hata vya miaka miwili, hata kama ni starehe kuna ladha gani pale zaidi ya kuwaharibu watoto. Nashanga hata haya mambo ya ubakaji yanawakuta hadi wasomi, Hivi kweli msomi unadanganywaje na mganga wa kienyeji? Biashara haifanikiwa kwa kubaka", amesisitiza.

Badhi ya wananchi waliozungumza na kituo hiki wamesema utaratibu wa serikali kupiga kura ya maoni ya siri uende sambamba na uandaaji wa takwimu sahihi kwa kuwa bado kunataarifa zilizipo hazina uhalisia na matukio.

Na Emmanuel mkulu

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto