Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kura zihesabiwe hadharani" -  Rais Magufuli

Jumatatu , 20th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt John Magufuli, amesema katika nafasi ya Ubunge jumla ya waliojitokeza kutia nia ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya vhama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba ni 10, 367. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John POmbe Magufuli.

Rais amesema hayo leo Julai 20, 2020 wakati akizungumza na viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni mara baada ya kuwaapisha Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, ambapo ameagiza kura za maoni zihesabiwe hadharani.

"Ni kweli mmepata nafasi hizi kwa sababu ya fursa nina imani mlioteuliwa mtakwenda kutekeleza wajibu wenu, mpaka leo waliochukua fomu za Ubunge na uwakilishi kupitia CCM ni 10,367 na waliorudisha fomu ni 10321, kwahiyo ambao hawakuzirudisha ni 46", amesema Rais Magufuli.

Julai 14 hadi 17 chama hicho kilifungua dirisha la uchukuaji fomu kwa watia nia wa nafasi za Ubunge na Udiwani, ambapo imeshuhudiwa maelfu ya watia nia tofauti na chaguzi zilizopita na huenda uchaguzi wa mwaka 2020, ukawa umeweka rekodi ya pekee.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine