Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LATRA yaagiza wamiliki mabasi ya masafa marefu

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Akizungumza na EATV Meneja Leseni Barabara (LATRA) Leo Ngowi amesema hatua hiyo inakuja baada ya kuanzishwa mfumo wa ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao ambao unalengo la kuondoa upotevu wa mapato kwa wasafirishaji pamoja na kuondoa mlolongo wa kufuata tiketi katika vituo vya mabasi.

Ngowi amesema kuwa baada ya utafiti wa muda mrefu walibaini kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa abiria, kuongeza kuwa kwa sasa mfumo huo utasaidia upatikanaji wa taarifa muhimu ikiwemo kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali na kuwezesha wasafirishaji kukopesheka kutokana na taarifa za miamala hivyo kuongeza uwekezaji.

"Abiria anapotaka kusafiri anaingia kwenye vituo vikubwa vya mabasi na mara nyingi kumekuwa na kero nyingi ikiwemo wamiliki kupoteza fedha ndyingi kwahiyo kwa kutumia mfumo huu hilo tatizo halitakuwepo na lingine ni kuweka takwimu sahihi ya idadi ya mabasi na mapato yanayopatikana" amesema Ngowi

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava