Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lema aeleza polisi walivyotaka kumdaka hotelini

Jumapili , 29th Mar , 2020

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, amesema kuwa hadi sasa hajajua ni kwanini alizingirwa na polisi alipokuwa hotelini, licha ya kuwasiliana na Makamanda wa Polisi wa Mikoa husika, ambao na wao hawakuweza kumpa sababu ya msingi.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, Lema amesema kuwa hakuona sababu yoyote ya polisi kumzingira sehemu ya watu ya biashara, kwani ilisababisha hofu kwa wateja na wageni katika eneo hilo, hivyo ni vyema wangempigia hata simu angeweza kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi.

"Ni kweli nilizingirwa na polisi hotelini lakini bahati nzuri hawakufanikiwa kunikamata, lakini nilifuatilia kwa Kaimu RCO Kinondoni akaniambia tutaongea baadaye na hakuniambia chochote, na mimi nilijua labda kulikuwa na jambo ambalo walikurupuka" amesema Lema.

Machi 17, 2020, kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA Tumaini Makene, alizungumza na EATV Digital na kutoa taarifa za kuwa Mbunge Lema amezingirwa na Askari Polisi katika hoteli ya Regency Park iliyoko Mikocheni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava