Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Lema anafanya siasa kihalifu' - Ole Sabaya

Alhamisi , 14th Nov , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameeleza sababu iliyofanya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kukamatwa na Polisi wilayani humo kwa kuwa alikuwa anafanya siasa za kihalifu na zenye mlengo wa kuleta taharuki kwa wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, leo Novemba 14, 2019, Sabaya amesema kuwa Lema alifika wilayani hapo na kufanya kikao cha siri na viongozi wenzake wa CHADEMA chenye lengo la kuwashawishi wananchi kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kinyume cha taratibu ilihali yeye si Mbunge wa eneo hilo.

"Tunataka kumuonesha, kiufupi hapa Hai sio salama kabisa kwa watu wahalifu kufanya siasa, kwakuwa hali hiyo ilikuwa inataka kuleta taharuki kwa wananchi, tutaangalia sheria inasemaje na hatua zingine zitafuata,wananchi wa Hai hawamjui Lema ni nani, yeye amekutana na viongozi wenzake kufanya hivyo na ndio maana hata Polisi walipofika hapo hakujisalimisha aliruka ukuta na kukimbia, hadi alipokuja kukamatwa baadae tena, yeye aende kwa wananchi wake wa Arusha  akaongee nao juu ya kuwapunguzia ukali wa maisha" amesema DC Sabaya.

Kwa mujibu wa DC Sabaya, Lema pamoja na Mwenyekiti wilayani humo Helga Mchomvu,  wamekamatwa leo Novemba 14, kwa makosa ya kufanya mkutano usio halali.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava