Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'CCM haipo hapa, imebaki kurubuni' - Lema

Ijumaa , 21st Feb , 2020

Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema, amesema kuwa anao uhakika wa kuendelea kuwa Mbunge wa Arusha Mjini na kwamba hakuna mtu yeyote atakayeweza kuiba kura zake.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema

Lema ameyabainisha hayo wakati akizungumza na EATV &EA Radio Digital, ambapo pia ameonesha kushangazwa na Wabunge wanaohama upinzani na kuhamia chama tawala kwa kisingizio cha kwamba wanaenda kuunga juhudi.

"Hakuna mtu yeyeote atakayeweza kuiba kura, na mara hii tutashinda madiwani wote 25, kwanza CCM haipo hapa ndio maana imebaki biashara ya kurubuni, unabaki kujiuliza Mbunge aliyepo madarakani anamzuia nini Rais kutekeleza wajibu wake, kwani mimi siwezi kukuunga mkono lazima nije kwako, kwani nikifurahia ndoa yako lazima nije kulala kwako?" amesema Lema.

Lema ameyabainisha hayo wakati akijibu swali lilimhoji kwamba, haoni mvutano alionao kati yake pamoja na viongozi wa Serikali mkoani humo, akiwemo Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Jonathan Shana, unaweza ukamuathiri katika kipindi chake cha kampeni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava