Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lindi : Aliyembaka mtoto wa miaka 10 ahukumiwa

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Mahakama ya Wilaya ya Lindi imemuhukumu bwana Issa Seif Mpanyanje (51) kifungo cha miaka (30) gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka kumi.

Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama hiyo, chini ya Hakimu Liliani Rualabamo, baada ya kuridhishwa bila shaka, na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka.

Hakimu Rugalabamo akitoa adhabu katika kesi hiyo, amesema kutokana na sheria kumshika mikono, amemuhukumu kwenda gerezani miaka 30 na atakapomaliza adhabu yake amlipe mlalamikaji fidia ya Sh. milioni 2.

Awali ilidaiwa Mahakama ilielezwa kuwa mshtakiwa kwa kutambua anachokifanya ni kosa, April 14, 2019, maeneo ya mashambani, alimbaka mlalamikaji na kumsababishia maumivu makali sehemu zake za siri.

Aidha mshtakiwa alimshawishi mlalamikaji waende Shambani akamsaidie kuvuna karanga na baada ya kufika huko shamba alianza kumtomasa tomasa, kisha kumbaka huku akimtaka kutomwambia mtu yeyote.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji