Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba awaonya waliobadilisha ofisi za CUF

Jumanne , 19th Mar , 2019

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba amewaomba wanachama wa chake upande wa Zanzibar kuendelea kusalia kwenye chama hicho licha ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif kutangaza kuhamia ACT - Wazalendo.

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba

Prof Lipumba ametoa kauli hiyo Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya hali ya mgogoro wa chama hicho ambao Mahakama ilimpatia haki ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wake.

Lipumba amesema, "ndugu wa Zanzibar ninachowaambia CUF mliijenga kwa muda mrefu, ndiyo maana CUF, ilikuwa na wimbo wa taifa wa chama, sasa Maalim Seif ACT ataimba nini".

"Niwaambie tu ndugu zangu wa Zanzibar kuchoma bendera ya chama chochote ni kosa la jinai nawaomba waache.", ameongeza Lipumba.

Pia Lipumba amesema, "ni kosa la jinai ofisi ya CUF kuitambulisha kuwa ofisi ya ACT - Wazalendo, akili za kuambiwa changanya na zako Maalim Seif anaweza kukwambia ubadilishe halafu mwisho akakuacha peke yako" amesema Lipumba

Mgogoro wa CUF umedumu kwa zaidi ya miaka 3, lakini jana Machi 2019, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam ikatoa uamuzi uliompa ushindi Profesa Ibrahim Lipumba.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava