Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu 'akosoa' maamuzi ya kesi yake

Jumanne , 10th Sep , 2019

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amedai maamuzi yaliyotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania jana yalikuwa maamuzi ya hofu, kwa kile alichokieleza walifuata vitu vya msingi kwenye kufungua shauri hilo.

Lissu ametoa kauli hiyo baada ya Mahakama kutoa uamuzi wa kuyakataa maombi yake, kwa kile ilichokisema Lissu alipaswa kufungua kesi ya kupinga uchaguzi ambao ulimpitisha Miraji Mtaturu.

Lissu amesema kuwa "nimewasiliana na Wakili Peter Kibatala kuhusu uamuzi wa Jaji Matupa, huu ndiyo aina ya uamuzi unaotolewa na Mahakama iliyoingiwa na hofu ya watawala, sisi hatukuwa na bado hatuna ugomvi na Tume ya Uchaguzi wala na Miraji Mtaturu."

"Hatukukosea chochote kufungua maombi ya marejeo ya Kimahakama, hoja ya kwamba kutakuwa na mgogoro wa Kikatiba, Wabunge wawili ni hoja isiyokuwa na mantiki au maana yoyote, tulichoomba sisi ni Mahakama Kuu itamke kama uamuzi wa Spika Ndugai ulikuwa sahihi kisheria?" amesema Lissu.

Jana Septemba 9, 2019 Mahakama Kuu ya Tanzania ilitoa maamuzi ya kuyakataa maombi ya Tundu Lissu juu ya kuvuliwa Ubunge na Spika wa Bunge Job Ndugai, na kumpa maelekezo ya kuyafuata.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA