Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lissu akumbushia aliyoyapitia akiwatetea Nyamongo

Jumanne , 29th Sep , 2020

Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameelezea historia yake na Kijiji cha Nyamongo huku akidai kuwa ametoka mbali na wananchi wa eneo hilo.

Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu.

Akihutubia katika mkutano wake wa kampeni wilayani Serengeti, Lissu ameeleza jinsi alivyoipambania Nyamongo, tangu akiwa mbunge huku akitaja moja ya eneo alilowapigania ni kwenye suala la madini.

"Mimi nimelala gerezani Tarime kwa sababu ya Nyamongo, nimeshtakiwa Mahakama ya wilaya ya Tarime ni kiwa mbunge kwa sababu ya Nyamongo, nimepigwa na kuchaniwa nguo hadharani nikiwa mbunge mbele ya watu kwa sababu ya Nyamongo,” alisema Lissu.

Aidha, Lissu amewaambia wananchi wa Serengeti kuwa bado hajapokea wito wa maandishi kuhusiana na tatizo lolote kuhusu kampeni zake na kama kuna tatizo ameomba aletewe maandishi yeye mwenyewe kwani ndiye mgombea.

"Hakuna tatizo lolote kama kuna tatizo waniletee maandishi mimi, wasiyapeleke kwenye chama wasiyapeleke nyumbani kwangu, wasiyapeleke kwingine kokote waniletee mimi kwa sababu mimi ndiye mgombea,” alisema Lissu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA