Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lowassa arudisha fomu ya Urais CHADEMA

Jumamosi , 1st Aug , 2015

Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo nchini CHADEMA, Edward Lowassa leo amerejesha fomu aliyoichukua kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwa mgombea urais kupita chama hicho.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.

Akizungumza mara baada ya kukabidhwa fomu Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Prof.. Abdallah Safari amesema mh. Lowassa amemaliza minong'ono iliyokua ikisemwa kwamba huenda asingerudi tena

Katika hatua nyinngine Wagombea wa urais kupitia vyama vya siasa vya Tanzania Labour Party TLP, na UPDP, leo wamejitokeza ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu tayari kwa maandalizi ya kugombea nafasi ya urais kupitia vyama vyao.

Kwa upande wa chama cha TLP mgombea wake wa Urais alikuwa ni Maximilan Lyimo, ambapo chama cha UPDP mgombea wake alikuwa ni Fahami Dovutwa ambapo akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo Mgombea wa chama cha TLP Bw. Macmilan Lyimo amehimiza amani kwa watanzania kutokana na uchaguzi wa mwaka huu kuwa na mvuto wa aina yake.

Amesema ni vyama wananchi wakaendelea kuilinda amani ya nchi kwa kuwa uchaguzi ni suala la kupita tu Rais wa nchi anamjua Mungu hivyo hakuna sababu ya watanzanuia wakafarakana na kukosa kuelewana.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu