Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maamuzi mapya ya kikao cha CCM

Jumanne , 21st Nov , 2017

Kikao cha halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi taifa NEC, kilichoanza jana Ikulu jijini Dar es salaam kimemalizika leo na kutoka na maadhimio kadhaa ikiwemo uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya mkoa na taifa.

Akitoa maadhimio hayo mbele ya waandishi wa habari leo mchana katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho ndugu Humphrey Polepole amesema kuwa mwenyekiti wa chama Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wanachama ambao hawajateuliwa kujitathimini na kubaki wanachama waaminifu ndani ya chama.

Polepole pia ametaja majina ya wagombea waliopitishwa na mkutano mkuu kuwania nafasi za Mwenyekiti mkoa, Mjumbe wa NEC, Mwenezi wa mkoa, Mwenyekiti jumuiya ya Wanawake taifa, Mwenyikiti Jumuiya ya wazazi taifa pamoja na Mwenyekiti jumuiya ya vijana taifa UVCCM. Amesema waliokuwa wametuma maombi ya kuteuliwa ni wanachama 3004 kwenye nafasi 261.

Kwa upande mwingine mkutano wa halmashauri kuu ya chama umeacha kupitisha wagombea waliotuma maombi kutoka mkoa wa Magharibi visiwani Zanzibar, baada ya kujiridhisha kuwa wote waliotuma maombi hawakukidhi vigezo.

Aidha mwenyekiti wa chama hicho amewaagiza wanachama walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali kujiepusha na vitendo vya rushwa ili wakachaguliwe kwa haki kwaajili ya kuwatumikia wananchi.

Zaidi tazama video hapo chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava