Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandalizi ya kuagwa Mzee Mkapa uwanja wa Uhuru

Jumamosi , 25th Jul , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakari Kunenge amesema taratibu za maandilizi ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa yanaendelea kwenye uwanja wa Uhuru pamoja na kuimarishwa kwa hali ya Ulinzi na Usalama.

Maandalizi kwenye uwanja wa Uhuru ambapo atazikwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Uhuru Temeke Jijini Dar Es Salaam amesema 

"Tunashukuru sana kwa mapenzi yenu makubwa kwa viongozi wetu, naamini tutafika kwa wingi na wasioweza kupata nafasi uwanjani tunaomba mkae barabarani tutawapatia ratiba ni njia ipi ambayo mwili utapita hadi kufika hapa ili wote mmpate fursa ya kumuaga huko mlipo" Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakari Kunenge 

"Tunafanya taratibu kujua ni njia gani ambayo atapita pamoja na taratibu zingine ambazo zinafanywa katika ngazi ya Taifa kulingana na itifaki na niwahakikishie wananchi wa Mkoa wa Dar Es Salaam hali ya usalama ni nzuri na tumejipanga vizuri kwa hiyo tusiwe na wasiwasi tujitokeze kwa wingi na kuaga ni kuanzia asubuhi hadi jioni" ameongeza 

Zaidi tazama kwenye video hapo chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto